mawasiliano
Makala
Uchumi na Biashara
Michezo na Burudani
Habari Mikoani
Mwanzo
19 November 2012
MGOMO
Baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kwenda Zambia na mikoa ya Tanzania wakiwa katika foleni ya kurudishiwa fedha za nauli, baada ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), kugoma Stesheni ya Dar es Salaam jana. Wafanyakazi hao wanagoma kushinikiza mamlaka hiyo kuwalipa stahili mbalimbali ikiwamo mishahara. (Picha na Prona Mumwi)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment