26 November 2012

JK AKABIDHIWA CHETI

Makamu Mkuu wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhombili,Profesa Ephata Kaaya (Kushoto),akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete,Cheti cha Udaktari wa Afya ya Umma (Honoris Causa),kutokana na Shahada aliyotunukiwa na chuo hicho Desemba 2012,kwa kutambua mchango wake wa kuendeleza sekta ya afya nchini.Picha na Ikulu

No comments:

Post a Comment