19 November 2012

BOMOABOMOA


Diwani wa Kata ya Ukonga, Elizabeth Mbano (wa pili kulia) akisimamia ubomoaji wa vibaraza vya nyumba ili kupisha mradi wa ujenzi wa barabara kutoka Mombasa hadi Moshi Bar uliozinduliwa Dar es Salaam jana. Ujenzi huo wa kiwango cha lami unatarajia kukamilika katika kipindi cha miezi 3. (Picha na Willbroad Mathias)

No comments:

Post a Comment