01 October 2012

WANAFUNZI


Wanafunzi wa Shule ya Msingi Ilala wakizoa takataka bila kuvaa vifaa maalumu kuwakinga na magonjwa, kama walivyokutwa na mpigapicha wetu eneo la shule hiyo, Dar es Salaam juzi. (Picha na Anna Titus)

No comments:

Post a Comment