04 October 2012

UFAFANUZI


Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Bw. Mathew Mnali (aliyesimama), akifafanua jambo kwa wawekezaji wazalendo wa sekta ya ufugaji, waliokutana Dar es Salaam jana. Mkutano huo uliandaliwa na kituo hicho kwa kushirikiana na Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO). (Picha na Nyakasagani Masenza)

No comments:

Post a Comment