08 October 2012

OPERESHENI


Mkazi wa Bonde la Mkwajuni, Manispaa ya Kinondoni (jina halikufahamika), akiwa amebeba bati alizoezua kwenye nyumba yake wakati wa operesheni ya kuvunja nyumba zilizojengwa mabondeni iliyoanza eneo la Hananasif, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. (Picha na Heri Shaaban)

No comments:

Post a Comment