Mwendesha baiskeri ya gurudumu tatu (GUTA), akiwa katika wakati mgumu kutokana na kuelemewa na uzito wa mizigo, kama alivyokutwa Magomeni Usalama, katika Barabara ya Morogoro Dar es Salaam jana. Baiskeli hizo zimekuwa kimbilio mbadala kutokana unafuu wa ghalama inayotozwa ya usafirishaji jijini. (Picha na Charles Lucas)
No comments:
Post a Comment