01 October 2012

MAPUMZIKO


Mkazi wa Jiji la Dar es Salaam (jina halikufahamika) anayejishughulisha na uokotaji wa chupa za plastiki akijipumzisha kwa kulalia mfuko wenye chupa hizo baada ya kuchoshwa na mizunguko, kama alivyokutwa kando ya Barabara ya Nyerere Gerezani, Dar es Salaam jana. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment