02 October 2012

MAELEKEZO YA SHERIA NDOGO ZILIZOTUNGWA MWAKA 2011

wanasheria wa Manispaa ya Ilala Bi. Pamela Mugaruka akielezea matumizi ya sheria akielezea matumizi ya sheria ndogo zilizotungwa mwaka 2011 kwa watu wanaozikiuka, wa kwanza kushoto ni ofisa usafirishaji Bw. Samweli Bubegwa na wa tatu kushoto ni mkuu wa wilaya hiyo Bw. Raymond Mushi. (Picha na maktaba)


No comments:

Post a Comment