25 September 2012

UJENZI


wapima ramani wa Kampuni ya Ujenzi ya STRABARG inayojenga miundombinu ya Mradi wa Mabasi ya Haraka jijini (DART) wakipima eneo la Magomeni Kagera, Dar es Salaam jana. Awamu ya kwanza ya mradi huo itakamilika mwezi Machi 2013. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment