25 September 2012

LIGI KUU ZANZIBAR

Mlinzi wa Bandari, Haitham Khamis (mbele) akimzuia mshambuliaji wa KMKM, Kasim Nemshi asilete madhara langoni mwake katika mechi ya Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar iliyopigwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Bandari ilishinda mabao 2-1. Na Mpigapicha Wetu

No comments:

Post a Comment