31 August 2012

WANYANGE

Wanyange wa Jiji la Mwanza wanao taraji kupanda jukwaani kesho Ijumaa Agosti 30, 2012 katika ukumbi wa Yatch Club jijini humo kuwania taji la REDD'S MISS MWANZA 2012 wakiwa katika pozi mbalimbali. Shindano hilo linataraji kuwakutanisha miamba wawili wa Miondoko ya pwani, Bibie Hadija Omar Kopa na mkongwe Mwanahawa Alli na mkali mwingine Bob Haisa.

No comments:

Post a Comment