31 August 2012

NIMEKUJA

Beki mpya wa Yanga, Mbuyu Twite akiwasalimia mashabiki wa timu hiyo waliofika kumlaki katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam jana. Katikati ni Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Selestine Mwesiga kushoto kwake ni mwanachama wa Yanga, Ahmed Seif 'Seif Magari'. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment