27 August 2012

MIKOPO


Baadhi ya Wakulima wa Vijiji vya Kwadelo, Matilinya na Kelelechang'ombe, Kata ya Kwadelo, Jimbo la Kondoa Kaskazini, mkoani Dodoma, wakiangalia baadhi kati ya matrekta 64 aina ya Farmtrac kwenye viwanja vya hadhara juzi, waliyokopeshwa ili kutekeleza mpango wa Kilimo Kwanza kwenye kata hiyo. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment