28 August 2012

HATARI


Gari Toyota namba T 145 ARU, likipita kando ya tawi la mti lililowekwa katika chemba ya maji ikiwa ni tahadhari kutokana na kutokuwapo mfuniko, kama lilivyokutwa makutano ya Barabara za Ohio na Samora, Dar es Salaam jana, mifuniko imekuwa ikiibwa na watu wasiofahamika na kuuzwa kama chuma chakavu. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment