27 August 2012

BURUDANI

Wasanii wa Kikundi cha Kwaya cha The Tanzanite Eagles cha Benki ya Barclays, wakifanya onesho maalumu kwenye ukumbi wa Kituo cha Utamaduni cha Urusi, Dar es Salaam juzi, wakijiandaa kwa safari ya Afrika Kusini, ambako watashiriki onesho la kwaya kwa vikundi vya nchi za Afrika. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment