30 July 2012

WALIMU


Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Bw. Ezekiel O'luoch, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), Dar es Salaam juzi, kuhusu msimamo wa walimu kufanya mgomo baada ya kutoafikiana na Serikali katika madai ya malimbikizo ya mishahara yao. Kushoto ni Mwekahazina, Bw. Mohamed Utaly na Rais wa Chama hicho, Bw. Gratian Mukoba. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment