Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Bi. Eugen Mwaiposa na Mratibu wa Mfuko wa Urafiki na Mshikamano (REHEMA), Bw. Mohamed Potea wakimtwisha ndoo yenye maji Bi.Eshe Mohamed, Dar es Salaam juzi, ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa kisima kirefu kilichochimbwa na mfuko huo eneo la Pugu Mpakani. (Picha na Peter Mwenda)
No comments:
Post a Comment