Mkurugenzi wa Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. Nicholas Brooks (kushoto), akizungumza na mawakala wa mauzo ya bidhaa za kampuni hiyo, kutoka mikoa ya wenyeji Dar es Salaam, Dodoma, Zanzibar, Morogoro, Lindi, Pwani na Mtwara, wakati wa mkutano wa kuwajengea uwezo, uliofanyika Dar es Salaam juzi. (Picha na Anna Titus)
No comments:
Post a Comment