mawasiliano
Makala
Uchumi na Biashara
Michezo na Burudani
Habari Mikoani
Mwanzo
26 July 2012
USHIRIKIANO
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw.Harry Kitillya, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Dar es Salaam jana, kuhusu kuanzishwa kwa ushirikiano na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA), katika Mradi wa Kuboresha Ukusanyaji Kodi unaotarajiwa kuanza hivi karibuni. (Picha na Angelina Mganga)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment