Baadhi ya Madiwani wa Kamati ya Mipango Miji wa Manispaa ya Kinondoni wakijadiliana kuhusu ujenzi wa Barabara ya Makongo, wakati wa ukaguzi uliofanywa na kamati hiyo, Dar es Salaam juzi (wa tatu kushoto) ni Meya wa manispaa hiyo, Mstahiki Yusuf Mwenda. (Picha na Charles Lucas)
No comments:
Post a Comment