mawasiliano
Makala
Uchumi na Biashara
Michezo na Burudani
Habari Mikoani
Mwanzo
06 July 2012
Samaki
Baadhi ya akina mama wa Songea, Mkoani Ruvuma wakinunua samaki wakavu kwenye Soko Kuu la Manispaa jana. Biashara ya samaki imeshamili baada ya bei ya nyama kupanda kutoka sh. 4000 kwa kilo moja hadi sh. 7000. (Picha na Cresensia Kapinga)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment