Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dkt. Namala Mkopi, akikumbatiwa na mmoja wa madaktari nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana, mara baada ya kuachiwa kwa dhamana, alipofikishwa kujibu tuhuma za kudharau amri ya Mahakama ya Kazi iliyoamuru kusitishwa kwa mgomo. (Picha na Prona Mumwi)
SIDHANI KUNA USHINDI WOWOTE RAHA INGEKUWA KUWAREJESHA MAREHEMU WALITANGULIZWA KUTOKATANA NA JEURI YA WACHACHE WANAOFIKIRIA MATUMBO YAO ILI WAJITAHIDI WAISHI MILELE KWANI WAMEJIJENGEA MAADUI WENGI KUZIMU
ReplyDeleteHii picha inatasfiriwa hivi,Rais wa chama cha madikteta nchini (MAT)DKT(dikteta)Namala mkopi, Akikumbatiwa na mmoja wa madikteta nje ya mahakama baada ya kushitakiwa kwa kuuwa mamia ya watanzania, huku akisherehekea mauaji hayo na madikteta wengine.
ReplyDeleteOk naweza kusema asante sana kwa kujiacha mtupu mbele ya mamilioni Wakitanzania maana hatukukujua hapo kwanza.Hivi unajisikiaje kusema kwamba wezi kama mkapa,sumari,mwinyi na wenziwe wametengewa bilioni 10 kwa mwaka kwa matibabu,ilhali mamia ya wavuja jasho wakiendelea kunyang'anywa haki zao.Ok thanx mr jambazi mwizi kunguru mkubwa huna haya kuwaita wanaodai haki zao za msingi kuwa ni madikteta.Dikteta ni huyo shoga mwenzenu mzee wa vimwana.Kumbuka sisi tuko nje ya nchi tunafanya maandalizi chadema wakishindwa sisi tunaingia na mtutu.Rwanda tumerekebisha DRC tunakamisha kazi tunamalizia KWETU TANZANIA sijui utajificha wapi wewe mbweha pori watch out your mouth and thoughts.
DeleteKama madaktari ni madikteta sijui serikali ya kihuni ya Kikwete tuiite nini. Wale wajinga kwanza wanaua yeyote asiyekubali ujinga wao. Wakishindwa wanaunda tume za kuficha uuaji wao. Wakiona madaktari bado wameshikamana wanawafutia leseni zao. Kama iyo haitoshi wanatumia mahakama kama fimbo. Ni wajinga tu kama nyie hapo juu ndo wanaamini serikali zaidi ya madaktari
ReplyDeleteni siasa tu hakuna mgomo lakini mwisho wananchi tutafanya uamuzi mgumu maana ndio tunaopoteza wapendwa wetu
ReplyDeleteNani kasema nchi hii tuna viongozi?????Mtoto wa mkulima na kiwete,wapi na wapi mtafikisha wapi nchi hii.Ipo siku mtakuwa kama Mbaraka wa misri.Wote weka ndani.IGP,KIWETE,MTOITO WA LIWALO NA LIWE.WAFIE JELA.Ni pesa ngapi za kodi ya wananchi imetumika kusomesha madaktari,halafu mnawafukuza na kuwafutia leseni.maana mnawapa adhabu kama tatu.Ninyi mnaneemeka.Mnaamua mabo kisiasa kukomoa mwananchi.2015 siyo mbali.Mtakiona.Kiwete,IGP,Mtoto wa Riwalo naliwe wote ndani,kama Mbaraka wa Misri alidhani nchi yake.
ReplyDeleteUliye coment hapo juu eti madaktari madikteta nadhani unawekewa jiti matakoni na ccm.Serikali ya kishezi inafanya mambo ya kipuuzikama vile unaisapoti,we ndo dikteta wa kwanza,wa pili ni kiwete na Riwalo naliwe anafuatia.Siku tutaingia barabarani ndo mujuwe.
ReplyDeleteHIVI KUMBE KUNA MAMLUKI WANAANDALIWA KUIPINDUA TANZANIA KAMA WALIVYOPINDUA RWANDA NA SASA WANAFANYA VURUGU KONGO KWA HIYO MAFUNZO MUNACHUKULIA RWANDA ILA RWANDA WENGI WANAWEWESEKA KUTOKANA NA MAFUVU YA MAREHEMU WAMAUAJI YA KIMBARI HAINGII AKILINI BINADAMU MWENYE AKILI TIMAMU KUWA NA KIU YA KUMWAGA DAMU SASA NAPATA UELEWA TUMEINGILIWA NA MA-FREEMASON SIJUI MWISHO UTAKUWA JE??
ReplyDelete