27 July 2012

MKATABA

Mkurugenzi wa Masoko na Matukio wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jimmy Kabwe akisaini mkataba wa makubaliano ya udhamini wa michuano ya Super 8, inayodhaminiwa na benki ya ABC (kulia) ni Katibu Mkuu wa TFF Angetile Osiah, Mkurugenzi Mkuu wa benki hiyo Boni Nyoni na Mkuu wa Idara ya fedha ya benki hiyo, Mwalimu Zubery. Picha na blogu ya dinaismail


No comments:

Post a Comment