Mkuu wa mkoa wa Mwanza Injinia Evarist Ndikilo, akifungua mafunzo ya sensa ya watu na makazi juzi kwa waandishi wa habari kutika yombo mbalimbali kutoka mikoa kumi ya kanda ya ziwa na kanda ya kati, semina iliyofanyika jijini Mwanza, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo ili waweze kutumia taaluma yao kuelimisha jamii juu ya zoezi hilo. (Picha na Patrick Mabula)
No comments:
Post a Comment