26 July 2012

KIVUTIO


Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Bw.Harry Kitillya, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Dar es Salaam jana, kuhusu kuanzishwa kwa ushirikiano na Shirika la Maendeleo la Japan (JICA), katika Mradi wa Kuboresha Ukusanyaji Kodi unaotarajiwa kuanza hivi karibuni. (Picha na Angelina Mganga)

No comments:

Post a Comment