Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Haki za Binadamu, Dkt. Hellen Kijo Bisimba, akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam juzi, wakati wa uzinduzi wa ripoti ya nusu mwaka ya hali ya haki za binadamu nchini. Kulia ni Mkurugenzi wa Ujengaji Uwezo na Uwezeshaji, Bi. Imelda Urio.(Picha na Dorin Mchau)
No comments:
Post a Comment