30 July 2012

Foleni


Wakazi wa Dar es Salaam wakiwa katika foleni ya kujiandikisha vitambulisho vya uraia, kama walivyokutwa eneo la Karakata jana, baadhi yao waki lalamikia utaratibu mbaya wa kujiandikisha unasababisha vurugu vituoni. (Picha na Prona Mumwi)

No comments:

Post a Comment