Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa (ALAT) ambaye pia ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Mstahiki Dkt. Didas Masaburi, akisoma tamko la Jumuiya hiyo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) mwishoni mwa wiki, linalokemea vitendo vya mabaraza ya madiwani kuwaondoa madarakani Wenyeviti wa Halamashauri mbalimbali nchini bila kufuata utaratibu. (Picha na Charles Lucas)
No comments:
Post a Comment