29 June 2012

USAJILI WATOTO


Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA), Bw. Phillip Saliboko, akionesha moja ya vyeti vipya vilivyotengenezwa kwa teknolojia ya kisasa vitakavyotumika kusajili watoto wote nchini walio chini ya umri wa miaka 5. Usajili huo utafanyika hivi karibuni kuanzia ngazi ya mtaa, vijiji na vituo vya afya. Kushoto ni Meneja Usajili wa Wakala hiyo. Bi. Angella Anatory (Picha na Charles Lucas) 

No comments:

Post a Comment