07 June 2012

TUZO

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Juma Pinto (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana (hawapo pichani), kuhusu tuzo za Mwanamichezo Bora wa mwaka zitakazotolewa Juni 14 mwaka huu. Katikati ni Meneja Mawasiliano wa SBL, Imani Lwinga na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa TASWA, Maulid Kitenge. (Picha na Victor Mkumbo)

No comments:

Post a Comment