27 June 2012

SOKA

Mchezaji wa timu ya Kigoma, Seif Ibrahim (kulia) akigombania mpira na beki wa Lindi Fikira Amir katika ya moja ya mechi zinazoendelea za michuano ya taifa ya Copa Coca-Cola kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Kigoma ilishinda mabao 2-0. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment