29 June 2012

NGOMA ZA ASILI


Wasanii wa Kikundi cha Ngoma za Asili cha Jembe kutoka mkoani Dodoma wakiburudisha, wakati wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kwenye Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam juzi. Miradi mbalimbali ya maendeleo ilizinduliwa. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment