19 June 2012

MUZIKI

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nassib Abdul 'Diamond' akiwa amebebwa juu na wacheza shoo wake wakati wa uzinduzi wa Tamasha la 'Wajanja' lililofanyika katika ufukwe wa bahari ya Coco, Dar es Salaam juzi. Tamasha hilo lilidhaminiwa na Vodacom Tanzania. Na Mpigapicha Wetu

No comments:

Post a Comment