12 June 2012

CHUO

Mkuu wa Chuo cha Aseki Dodoma, Bw. Omari Kiputiputi akizungumza katika mahafali ya kwanza ya chuo hicho yaliyofanyika hivi karubuni, ambapo wahitimu mbalimbali walitunikiwa vyeti katika fani za biashara, kushoto ni Mwenyekiti wa bodi ya mitihani ya chuo hicho, Balozi Job Lusinde na Mwenyekitu wa Bodi ya Wakurugenzi wa chuo hicho,Dk. Richard Mushi. (Picha na Mpiga Picha wetu)

No comments:

Post a Comment