14 June 2012

KUKU


Mfanyabiashara wa kuku (jina halikufahamika) akiwalinda huku akisoma gazeti,kama alivyokutwa katika foleni ya kuingia ndani ya Soko la Kisutu Barabara ya Bibi Titi, Dar es Salaam jana. Kuongezeka kwa wafanyabiashara kwenye soko hilo kunasababisha msongamano. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment