07 June 2012

GESI 550


Meneja Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya Simgas Tanzania Ltd, Bw. Tayeb Noorbhai (kulia) akizungumza na baadhi ya wateja jinsi ya kutumia gesi550 itokanayo na mabaki ya vyakula na takataka waliotembelea banda la kampuni hiyo Dar es Salaam jana, inayotumika kwa matumizi ya nyumbani ambayo pia huzarisha mbolea, wakati wa Maonesho ya Nishati Jadilifu. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment