07 June 2012

FAINI

Mwendesha Pikipiki ya abiria 'Bodaboda', (aliyesimama kushoto), akiwa ameshika nyonga, haamini kilichotokea, huku akimwangalia Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, aliyekuwa akimwandikia faini, baada ya kukutwa na makosa ya usalama barabarani eneo la Karume, Manispaa ya Ilala Dar es Salaam juzi. (Picha na Heri Shaaban)

No comments:

Post a Comment