22 May 2012

ZIARA NHIF


Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Bw. Seif Suleiman Rashid (katikati) akiongozana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Bima ya Afya wa Taifa (NHIF), Bw. Emmanuel Humba na Naibu Mkurugenzi wa mfuko huo, Bw. Hamis Mdee wakati wa ziara ya kuangalia utendaji na kuongea na wafanyakazi wa mfuko huo, Dar es Salaam jana. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment