22 May 2012

BODI YA MISITU


Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi, Khamisi Kagasheki, akiteta na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Bw. Lazaro Nyarandu, wakati wa uzinduzi wa Bodi ya Huduma za Wakala wa Misitu (TFS) Dar es Salaam jana. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment