Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kushoto) akimsikiliza Mkururugenzi wa Mawasiliano wa Shirika la Utafiti na Tiba Afrika (AMREF), Bi. Wanjiru Ruhanga, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya miaka mitatu ya Kuchangia Mafunzo ya Wakunga Nchini, Dar es Salaama juzi, utakaoratibiwa na shirika hilo ili kuokoa maisha ya mama na mtoto. (Picha na Charl;es Lucas)
No comments:
Post a Comment