17 May 2012

UWEKEZAJI


Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Mary Nagu, akionesha ripoti ya Uwekezaji Afrika ya Mwaka 2011, na taarifa ya ufuatiliaji wa hali ya uwekezaji, baada ya kuizindua Dar es Salaam jana, kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Bw. Raymond Mbilinyi na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo ya Viwanda la Umoja wa Mataifa  (UNIDO), Bw. Emmanuel Kalenzi,  ripoti hiyo imetayarishwa kwa ushirikiano wa TIC na UNIDO. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment