22 May 2012

UTALII


Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania Dkt. Aloyce Nzuki (katikati), akizungumza na Naibu Waziri wa Utalii wa Afrika Kusini, Bi. Tokozile Xasa, alipotembelea banda la Tanzania, katika maonesho ya utalii ya INDABA yaliyofanyika Durban, Afrika Kusini hivi karibuni. (Na Mpigapicha Wetu)

No comments:

Post a Comment