Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi la Polisi Tanzania,(SACP), Simon Siro ,(kulia), akishirikiana na mwananchi wa Ikwiriri (jina halikufahamika), kuondoa mawe katika Barabara ya Kilwa, eneo la Ikwiriri, wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani jana, mawe hayo yaliwekwa na wananchi wenye hasira ili kuzuia magari yanayopita wakati wa vurugu kati ya wakulima na wafugaji. (Picha na Masau Bwire)
No comments:
Post a Comment