Kaimu Mkurungenzi wa Shirika la (TANESCO),Bw. Boniface Njombe(aliyeinama) akimwonesha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Bw. Said Mwambungu moja ya kifaa kilichoharibika katika moja ya mashine za kuzalisha umeme na kusababisha kupungua kwa uzalishaji wa umeme katika Mji wa Songea mkoani Ruvuma juzi. Kwa sasa upatikanaji wa nishati hiyo muhimu katika mji wa huo imekua kero kubwa.Picha na kassian Nyandindi
No comments:
Post a Comment