18 May 2012

TUZO YA UBORA


Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Usajiri wa Kampuni nchini (BRELA), Bw. Esteliano Mahingila, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), Dar es Salaam jana, kuhusu tuzo zilizotolewa na taasisi za kimataifa kwa mamlaka hiyo na Kampuni za BRAVO Logistics Limited, na Kampuni ya Uhandisi ya NEWL, baada ya kufikia vigezo vya utendaji bora wenye kiwango cha kimataifa, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa NEWL, Bw. Samwel Lema. (Picha na Charles Lucas)

No comments:

Post a Comment