18 May 2012

KAMATA KAMATA


Mgambo wa Manispaa ya Ilala wakisukuma mikokoteni yenye bidhaa mbalimbali za wafanyabiashara ndogondogo baada ya kuwakamata wakifanyabiashara kwenye eneo lisiloruhusiwa Kariakoo Dar es salaam jana. (Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment