Mkazi wa jiji mwenye asili ya kimasai alikutwa ameketi kwenye njia ya treni bila kujali usalama wake, kama alivyokutwa na mpigapicha wetu, eneo la Shaurimoyo Ilala, Dar es Salaam jana, haikufahamika tatizo lililosababisha kuketi hapo. (Picha na Charles Lucas)
No comments:
Post a Comment