Katibu Mkuu wa Chama kipya cha siasa nchiniAlliance For Democratic Change (ADC) Bw. Lucas Kadawi Limbu, akipokea kadi kutoka kwa kundi la wasanii wa Magu One Theatre na kuwakabidhi kadi mpya za ADC mjini Magu hivi karibuni baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara mkoani Mwanza. Picha na David Magesa
No comments:
Post a Comment