Afisa Uhusiano Airtel Tanzania Jane Matinde (kulia) akisaini mkataba wa kudhamini michuano ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 ya Airtel Rising Stars 2012, huku mjumbe wa kamati ya mashindano Dar es Salaam Daudi Kanuti akishuhudia. Wengine ni Katibu Mkuu wa TFF Angetile Osiah (wa pili kulia) na Mwenyekiti wa kamati ya mashindano TFF Saad Kawemba.(Na Mpigapicha Wetu)
No comments:
Post a Comment